Ndio, mara tu baada ya kufanikiwa kujisajili utapata mwezi mmoja wa bure. Aidha, ukilipa kwa mwaka mzima unapata punguzo la bei.
Upo mwezi mmoja bure wa majaribio bila malipo. Baada ya huo mwezi wa kwanza, haturudishi pesa.
Ndio, unaweza kuhamia kifurushi kikubwa zaidi muda wowote ule. Utaongeza tu kiasi cha fedha kuendana na hicho kifurushi
Ndio, unaweza kusitisha na hutadaiwa chochote. Kabla ya kusitisha, tunakushauri uwasiliane na kitengo chetu cha huduma kwa wateja tupate kukusaidia zaidi.
Ndio, tunatoa mafundisho ya kutumia mfumo wetu. Kama ni nje wa mkoa wa Dar es Salaam, utagharamia usafiri tu wa mtoa huduma wetu. Tunashauri kutumia njia za mtandaoni kama ZOOM, Google MEET na SKYPE kwa ajili ya mafundisho haya. Ni Bure Kabisa.
Ndio, kwa wateja wa kifurushi chetu cha UHURU tunafanya hili, kwa vifurushi vingine, unaweza kuzungumuza na kitengo chetu cha huduma kwa wateja kwa msaada zaidi.